Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa
KONGAMANO LA TATU LA KITAIFA LA HUDUMA ZA MAKTABA, MAONESHO YA VITABU NA USOMAJI
service image

KONGAMANO LA TATU LA KITAIFA LA HUDUMA ZA MAKTABA, MAONESHO YA VITABU NA USOMAJI

Tuesday Sep 19, 2023

07:00-12.30

Mwanza

TLSB imeandaa Kongamano la Tatu la Kitaifa la Huduma za Maktaba, Tamasha la Vitabu na Usomaji. Kongamano hili linatarajiwa kufanyika tarehe 19 - 21 mwezi Septemba, 2023, katika Ukumbi wa Mikutano wa BOT, Kapri Point, jijini Mwanza. Mada mbalimbali zitawasilishwa sambamba na Tamasha la Vitabu na Usomaji. Kongamano la kwanza lilizinduliwa rasmi mwaka jana 2021 jijini Dodoma na kukutanisha wadau mbalimbli wa masuala ya Ukutubi.