Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa
MAHAFALI YA 29 YA CHUO CHA UKUTUBI NA UHIFADHI NYARAKA (SLADS)
23 11, 2023
  Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka yaani School of Library Archives and Documentation Studies (SLADS) kilichopo Bagamoyo na Dar es salaam, anapenda kuwakaribisha wahitimu wote wa mwaka 2022/2023 wa ngazi ya Stashahada (NTA 6) katika mahafali ya 29 ya Chuo hicho yatakayofanyika tarehe 25 mwezi Novemba, 2023 siku ya Jumamosi kuanzia saa tatu asubuhi chuoni Bagamoyo, mkoani Pwani.