Pichani: Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Adolf Mkenda (katikati) akiwa katika picha ya pamoja na Naibu Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. QS Omary Kipanga (wa kwanza Kushoto), Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Mhe. Prof. Carolyne Nombo (wa pili Kulia), Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea (wa pili kushoto), na Mkurugenzi Mkuu wa TET Dkt. Aneth Komba (wa kwanza Kulia), mara baada ya Bajeti ya Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupita Bungeni tarehe 13 Mei, 2025.