Pichani: (Kutoka Kushoto waliokaa) Mkurugenzi wa Idara ya Uendeshaji Huduma za Maktaba Dkt. Rehema Ndumbaro, (Katikati) Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea na (Kulia) Mratibu wa SLADS tawi la Dar es Salaam Ms. Irene Saria katika picha ya pamoja na Watumishi TLSB katika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani, tarehe 8 Machi 2024, Ukumbi wa Mikutano TLSB Makao Makuu.