Pichani: Naibu Katibu Mkuu (Elimu), wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Mgeni Rasmi Dkt. Hussein Mohamed Omar (Wa pili kushoto) akizindua Maktaba ya Jamii MACOBICA (Maguu Community Based Information Centre Association) iliyopo Maguu, Wilayani Mbinga, Mkoani Ruvuma tarehe 2 Desemba, 2025. Wakishuhudia tukio hilo ni Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea (Kulia) na Mwenyekiti wa Maktaba ya MACOBICA Ndug. Saimon Mahai (wa kwanza Kushoto).