Pichani: Naibu Katibu Mkuu (Elimu) wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar (wa pili kushoto) na Mwenyekiti wa Maktaba ya Jamii MACOBICA ndug. Simon Mahai (katikati) wakikata kwa pamoja utepe kuashiria Uzinduzi wa Maktaba ya Jamii MACOBICA iliyoko Kata ya Maguu, Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma tarehe 02 Desemba, 2025.