Salamu za pongezi kwa Mwenyekiti Mpya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB, Balozi Prof. Elizabeth Kiago Kiondo.
Pichani: Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma na Mgeni Rasmi Mhe. Brigedia Jenerali Ahmed Abbas Ahmed akihutubia katika Hafla ya Ufunguzi wa Maktaba ya Mkoa wa Ruvuma iliyofanyika tarehe 03 Desemba, 2025 katika viwanja vya Maktaba hiyo.
Pichani: Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo na Mgeni Rasmi Mhe. Shaibu Ndemanga akihutubia katika mahafali ya 31 ya Chuo cha Ukutubi na uhifadhi Nyaraka (SLADS) yaliyofanyika tarehe 20 Desemba, 2025 katika hoteli ya Stella Maris, iliyopo Bagamoyo, mkoani Pwani.
Pichani Kulia: Naibu Katibu Mkuu (ELIMU) wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia na Mgeni Rasmi Dkt. Hussein Mohamed Omar akipanda mti katika Maktaba ya Jamii MACOBICA mara baada ya kuzindua Maktaba hiyo hii leo tarehe 2 Desemba, 2025. Kushoto ni Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea akishuhudia tukio hilo.
Pichani: Naibu Katibu Mkuu (Elimu) wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar (wa pili kushoto) na Mwenyekiti wa Maktaba ya Jamii MACOBICA ndug. Simon Mahai (katikati) wakikata kwa pamoja utepe kuashiria Uzinduzi wa Maktaba ya Jamii MACOBICA iliyoko Kata ya Maguu, Wilayani Mbinga Mkoani Ruvuma tarehe 02 Desemba, 2025.
Kuwa Taasisi ya umma inayoongoza nchini katika kutoa na kusambaza taarifa mbalimbali kwa njia ya vitabu, machapisho na teknolojia ya kisasa kupitia mt...
Kutoa na kusambaza huduma sahihi kwa watu wote kwa wakati muafaka ili kuendeleza kisomo, kujiburudisha na kuendeleza utamaduni kwa jamii. Pia kukusany...
TLSB ni chombo kilichopewa mamlaka ya kisheria ya kupata, kupanga, na kusambaza, taarifa katika nyanja zote za maisha. Maarifa yaliyokusanywa kupitia...
Bodi ya huduma za maktaba Tanzania (TLSB), imepokea vitabu zaidi ya 150 kutoka kwa familia ya marehemu Christopher Mwaijonga ya jijini Dar es salaam, tarehe 6 Februari 2024.
Akimwakilisha Mkurugenz...