Pichani: (Wa pili kulia) Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdulla akimkabidhi cheti cha Ushiriki Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea (katikati) katika Maadhimisho ya Siku ya Kimataifa ya Kujua kusoma na Kuandika yaliyofanyika sambamba na shehere za Miaka 60 ya Elimu Bila Malipo visiwani Zanzibar, katika Ukumbi wa Sheikh Idriss Abdul Wakil Kikwajuni Zanzibar tarehe 7 - 8 Septemba, 2024. (Wa pili kushoto) ni Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Amali wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Mhe. Lela Muhamed Mussa, na (wa kwanza kulia) ni Mkuu wa Mkoa wa Mjini Magharibi Mhe. Idrissa Kitwana Mustafa.