Wajumbe wa Kamati za Baraza la Wawakilishi Zanzibar, ikiwemo Kamati ya Hesabu za Serikali (PAC) na Kamati ya Ustawi wa Jamii, pamoja na viongozi kutoka Wizara ya Elimu, Mafunzo ya Amali Zanzibar (WEMA...
31 Agosti 2026 Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB), Dkt. Mboni Ruzegea, leo tarehe 31 Agosti 2026 amekutana na watumishi wapya 23 wa kada ya Ukutubi katika kikao cha ‘i...
Bodi ya Wakurugenzi, Menejimenti na Watumishi wa Bodi ya Huduma za Mkataba Tanzania (TLSB), tunakupongeza Balozi Prof. Elizabeth Kiago Kiondo kwa kuteuliwa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania M...
Watumishi Wanawake wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania, Maktaba za mkoa wa Dar es Salaam wamehudhuria Viwanja vya Mburahati Barafu, yalipofanyika Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani Kimkoa, leo...
Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar zimeeleza matumaini makubwa waliyonayo kwa Kamisheni ya Kiswahili ya Afrika Mashariki (KAKAMA) katika kuimarisha, kukuz...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawatakia heri ya Mwaka Mpya Watanzania wote, ukawe mwaka wa Baraka na Fanaka tele, huku tukitunza tunu zetu ambazo ambazo ni Amani, Umoja na Mshikamano.