Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
WAAJIRIWA WAPYA TLSB WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA U...

Waajiriwa wapya wapatao 51 wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa weledi  na ufanisi. Hayo yamesemwa tarehe 07 Mei, 202...

08 May, 2025
...
TLSB YAADHIMISHA MEI MOSI 2025

TLSB imeshiriki maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa yaliyofanyika katika viwanja vya Bombadia Mkoani Singida tarehe 1 Mei, 2025. Katika maadhimisho hayo, Watumishi wa TLSB Maktaba ya Mkoa wa Sin...

05 May, 2025
...
PROF. MUKANDALA ATETA NA WAJUMBE WAPYA WA BODI TLSB

Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuletea Bodi mafanikio kwani wamepewa dhamana kubwa na kuaminiwa kushika nafasi hizo. Hayo yamesema na Mwenyekiti wa B...

29 Apr, 2025
...
TLSB YAPOKEA UGENI KUTOKA BARAZA LA WAWAKILISHI ZANZIBAR

Kamati ya Kudumu ya Ustawi wa Jamii ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar ikiongozwa na Mwenyekiti wake Mhe. Sabiha Filfil Thani, imefanya ziara katika ofisi za Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) M...

28 Apr, 2025
...
DKT. MBONI RUZEGEA AFUNGUA MAONESHO YA VITABU YA MELI YA KIM...

Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, amefungua maonesho ya vitabu yaliyofanyika katika Meli ya kimataifa ya LOGOS HOPE iliyotia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Ghati namba 2, tarehe 6 Ok...

28 Apr, 2025
...
TLSB YAWAHAMASISHA WAANDISHI WACHANGA KUJISAJILI

TLSB kupitia Kitengo chake cha Bibliografia ya Taifa (NBA) kimepokea nakala za vitabu kwa ajili ya kuweka namba tambuzi kutoka kutoka kwa Mwandishi mchanga Peter Nsangano aliyeandika kitabu kiitwacho...

28 Apr, 2025