Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar ametembelea Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Makao Makuu Dar es Salaam leo tarehe 22 Julai, 2025 kujionea...
Waandishi na watunzi wa vitabu wametakiwa kuandika maudhui yanayoakisi maisha halisi na utamaduni wa Mtanzania, ili kuendeleza na kuimarisha urithi wa taifa kupitia maandiko. Wito huo umetolewa na...
TANGAZO! Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) anakaribisha maombi ya kujiunga na Chuo kwa kozi za Ukutubi, Uhifadhi Nyaraka na ICT kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Nyote mnakaribis...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawakaribisha kutembelea banda lake katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma kuanzia tareh...
Waandishi wa fasihi ya Kiswahili wametakiwa kujenga utamaduni wa kutembelea maktaba ili kupata maarifa mapya na kufahamu mahitaji ya wasomaji wa vitabu kulingana na muktadha wa wakati na mabadiliko ya...
Waajiriwa wapya wapatao 51 wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa weledi na ufanisi. Hayo yamesemwa tarehe 07 Mei, 202...