Tanzania emblem
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania

TLSB Logo TLSB Logo
Tafuta kwenye kwa

Habari

...
NAIBU KATIBU MKUU (ELIMU) WyEST AFANYA ZIARA TLSB

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar ametembelea Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Makao Makuu Dar es Salaam leo tarehe 22 Julai, 2025 kujionea...

04 Aug, 2025
...
WAANDISHI WATAKIWA KUANDIKA VITABU VYENYE MAUDHUI YA KITANZA...

Waandishi na watunzi wa vitabu wametakiwa kuandika maudhui yanayoakisi maisha halisi na utamaduni wa Mtanzania, ili kuendeleza na kuimarisha urithi wa taifa kupitia maandiko. Wito huo umetolewa na...

19 Jul, 2025
...
TANGAZO LA UDAHILI WA MASOMO CHUO CHA UKUTUBI NA UHIFADHI NY...

TANGAZO! Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) anakaribisha maombi ya kujiunga na Chuo kwa kozi za Ukutubi, Uhifadhi Nyaraka na ICT kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Nyote mnakaribis...

20 Jun, 2025
...
TLSB INASHIRIKI MAONESHO YA WIKI WA UTUMISHI WA UMMA 2025

Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawakaribisha kutembelea banda lake katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma kuanzia tareh...

19 Jun, 2025
...
WAANDISHI WA FASIHI YA KISWAHILI WASISITIZWA KUTUMIA MAKTABA...

Waandishi wa fasihi ya Kiswahili wametakiwa kujenga utamaduni wa kutembelea maktaba ili kupata maarifa mapya na kufahamu mahitaji ya wasomaji wa vitabu kulingana na muktadha wa wakati na mabadiliko ya...

29 May, 2025
...
WAAJIRIWA WAPYA TLSB WAASWA KUZINGATIA SHERIA NA KANUNI ZA U...

Waajiriwa wapya wapatao 51 wameaswa kuzingatia Sheria, Kanuni na taratibu za Utumishi wa Umma ili kutekeleza majukumu yao ya kila siku kwa weledi  na ufanisi. Hayo yamesemwa tarehe 07 Mei, 202...

08 May, 2025