Watumishi wanawake wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Makao Makuu Dar es salaam, tarehe 7 Machi, 2024 wametembelea shule ya msingi Uhuru Mchanganyiko iliyoko jijini Dar es Salaam na kuwapati...
Watumishi wa TLSB, TBA,TGFA, DCEA na TIC wamepatiwa mafunzo kuhusu Mahitaji ya Rasilimali Watu Serikalini, tarehe 07 Desemba 2023, katika Ukumbi wa Mikutano TLSB Makao Makuu Dar es Salaam. Akifungua...
Wajumbe wapya wa Bodi ya Wakurugenzi TLSB wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na kuletea Bodi mafanikio kwani wamepewa dhamana kubwa na kuaminiwa kushika nafasi hizo. Hayo yamesema na Mwenyekiti wa B...
Kaimu Mkuu wa chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) Bi. Bertha Mwaihojo na Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Dkt. Maulid J. Maulid, wamefanya kikao maalum na kujad...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanazania (TLSB), imefanya Semina kuhusu VVU, Ukimwi, Rushwa na Afya ya Akili kwa Watumishi ili kuwaongezea uelewa, maarifa na njia za kukabiliana na changamoto zitakazojitok...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania imefanya Ufunguzi wa Kona ya Watoto iliyopo ndani ya jengo la Maktaba Kuu ya Taifa, jijini Dar es Salaam leo tarehe 30 Januari, 2025 mara baada ya ukarabati mdogo ul...