Waandishi wa vitabu nchini wametakiwa kuzingatia maudhui yanayoendana na mila, desturi na tamaduni za Kitanzania katika kazi zao za uandishi, ili kukuza utambulisho wa taifa na kuelimisha jamii kupiti...
Menejimenti ya TLSB na Uongozi wa Maktaba ya Jamii Bustani iliyoko Rombo mkoani kilimanjaro, wamekutana leo tarehe 31 Julai, 2025 katika Ukumbi Mkuu wa Mikutano TLSB Dar es salaam, katika kikao...
Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Dkt. Hussein Mohamed Omar ametembelea Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Makao Makuu Dar es Salaam leo tarehe 22 Julai, 2025 kujionea...
Waandishi na watunzi wa vitabu wametakiwa kuandika maudhui yanayoakisi maisha halisi na utamaduni wa Mtanzania, ili kuendeleza na kuimarisha urithi wa taifa kupitia maandiko. Wito huo umetolewa na...
TANGAZO! Mkuu wa Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) anakaribisha maombi ya kujiunga na Chuo kwa kozi za Ukutubi, Uhifadhi Nyaraka na ICT kwa mwaka wa masomo 2025/2026. Nyote mnakaribis...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) inawakaribisha kutembelea banda lake katika maonesho ya Wiki ya Utumishi wa Umma yanayofanyika katika viwanja vya Chinangali Park, jijini Dodoma kuanzia tareh...