Mkurugenzi Mkuu wa Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) Dkt. Mboni Ruzegea amewahimiza wanawake kunyanyuana katika maeneo ya kazi na kwingineko ili kujiletea maendeleo kwa mtu mmoja mmoja na taif...
Mkurugenzi wa Uendelezeji Taasisi Ofisi ya Rais, menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora ndugu Nolasco Kipanda, amewatunuku Wahitimu 196 Stashahada ya Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka ya Chuo Cha U...
Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, amefungua maonesho ya vitabu yaliyofanyika katika Meli ya kimataifa ya LOGOS HOPE iliyotia nanga katika bandari ya Dar es Salaam, Ghati namba 2, tarehe 6 Ok...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanazania (TLSB), imefanya Semina kuhusu VVU, Ukimwi, Rushwa na Afya ya Akili kwa Watumishi wa SLADS ili kuwaongezea uelewa, maarifa na njia za kukabiliana na changamoto zita...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imepokea vitabu vyenye maudhui mbalimbali zaidi ya 20 kutoka kwa Jumuiya ya Kiislam ya Ahmadiyya ukanda wa Mnazi Moja mkoa wa Dar es Salaam, tarehe 24 Januari...
Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, atafanya Mkutano na Waandishi wa Habari kuelezea Mafanikio na Mwelekeo wa Bodi katika Miaka Minne ya Serikali ya Awamu ya Sita chini ya Mhe. Rais Dkt. Samia...