Mwenyekiti wa Baraza la Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka na Mkurugenzi Mkuu wa TLSB Dkt. Mboni Ruzegea, leo tarehe 11 Machi, 2025 amefungua Mkutano wa Wadau kwa kuhakiki Mtaala wa Chuo cha SLADS....
Mkurugenzi Mtendaji wa Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) Dkt. Maulid J. Maulid amewataka Wakutubi kujifunza na kutumia teknolojia za kisasa katika kuchakata, kutayarisha na kuhifadhi taar...
Chuo cha Ukutubi na Uhifadhi Nyaraka (SLADS) kwa mara ya kwanza kimewakutanisha Wahitimu wa Chuo hicho (Alumnae) katika Kongamano lililofanyika tarehe 22 Novemba 2024, katika viwanja vya SLADS Bagamoy...
Naibu Waziri wa Elimu Sayansi na Teknolojia Mhe. Omary Kipanga amezindua Kituo cha Wamerekani (American Affiliate Space) katika Maktaba ya Mkoa wa Dodoma tarehe 29 Mei, 2024. Akizungumza katika Ufu...
Bodi ya Huduma za Maktaba Tanzania (TLSB) imepokea msaada wa Kompyuta Mpakato (Laptop) 1, Projekta 2 na michezo aina saba ya watoto kwa ajili ya Divisheni ya Watoto na Shule vyenye thamani ya shilingi...
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda, amefanya kikao na Kamati ya Kitaifa ya Tuzo za Taifa ya Uandishi bunifu ya Mwalimu Julius K. Nyerere, katika Ukumbi wa Mikutano wa Taasisi ya...